1 Mambo ya Nyakati 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hawa wote ndio waliokuwa chini ya amri ya baba yao katika nyimbo kwenye nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi,+ vinanda+ na vinubi+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli. Chini ya amri ya mfalme kulikuwa Asafu na Yeduthuni na Hemani.+ Nehemia 12:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwa maana katika siku za Daudi na Asafu, katika wakati uliopita, kulikuwa na viongozi wa waimbaji+ na wimbo wa sifa na kutoa shukrani kwa Mungu.+
6 Hawa wote ndio waliokuwa chini ya amri ya baba yao katika nyimbo kwenye nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi,+ vinanda+ na vinubi+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli. Chini ya amri ya mfalme kulikuwa Asafu na Yeduthuni na Hemani.+
46 Kwa maana katika siku za Daudi na Asafu, katika wakati uliopita, kulikuwa na viongozi wa waimbaji+ na wimbo wa sifa na kutoa shukrani kwa Mungu.+