- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 29:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        31 Mwishowe Hezekia akajibu na kusema: “Sasa mmeujaza+ mkono wenu nguvu kwa ajili ya Yehova. Karibieni, mlete dhabihu+ na dhabihu za shukrani+ katika nyumba ya Yehova.” Nalo kutaniko likaanza kuleta dhabihu na dhabihu za shukrani, na pia kila mtu aliyekuwa na moyo wa kupenda, akaleta matoleo ya kuteketezwa.+ 
 
-