2 Wafalme 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha watu wote wa nchi wakaenda kwenye nyumba ya Baali, wakazibomoa madhabahu zake;+ nao wakazivunja kabisa+ sanamu zake, nao, mbele ya zile madhabahu,+ wakamuua Matani+ kuhani wa Baali. Na kuhani akaweka waangalizi juu ya nyumba ya Yehova.+
18 Kisha watu wote wa nchi wakaenda kwenye nyumba ya Baali, wakazibomoa madhabahu zake;+ nao wakazivunja kabisa+ sanamu zake, nao, mbele ya zile madhabahu,+ wakamuua Matani+ kuhani wa Baali. Na kuhani akaweka waangalizi juu ya nyumba ya Yehova.+