2 Wafalme 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yehoashi+ alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala.+ 2 Wakorintho 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Si kwamba sisi wenyewe tuna sifa za kustahili vya kutosha kuhesabu kuwa jambo lolote linatoka kwetu wenyewe,+ bali kuwa kwetu na sifa za kustahili vya kutosha hutoka kwa Mungu,+
5 Si kwamba sisi wenyewe tuna sifa za kustahili vya kutosha kuhesabu kuwa jambo lolote linatoka kwetu wenyewe,+ bali kuwa kwetu na sifa za kustahili vya kutosha hutoka kwa Mungu,+