12 Na sasa nipe basi eneo hili lenye milima ambalo Yehova aliahidi siku hiyo,+ kwa kuwa wewe mwenyewe ulisikia siku hiyo kwamba huko kulikuwa na Waanaki+ na majiji makubwa yenye ngome.+ Huenda Yehova atakuwa pamoja nami,+ nami nitawanyang’anya nchi na kuwafukuza, kama vile Yehova alivyoahidi.”+