12 Kwa hiyo, nipe eneo hili lenye milima ambalo Yehova aliahidi siku hiyo. Ingawa ulisikia siku hiyo kwamba kuna Waanaki+ wanaoishi huko katika majiji makubwa yenye ngome,+ bila shaka Yehova atakuwa pamoja nami,+ nami nitawafukuza, kama Yehova alivyoahidi.”+