Hesabu 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Walipopanda na kuingia Negebu, walifika Hebroni,+ ambako Ahimani, Sheshai, na Talmai,+ wazao wa Anaki+ waliishi. Sasa, Jiji la Hebroni lilijengwa miaka saba kabla ya jiji la Soani lililoko Misri. Hesabu 13:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini watu wanaoishi katika nchi hiyo wana nguvu, na majiji yao yenye ngome ni makubwa sana. Tuliona pia wazao wa Anaki huko.+
22 Walipopanda na kuingia Negebu, walifika Hebroni,+ ambako Ahimani, Sheshai, na Talmai,+ wazao wa Anaki+ waliishi. Sasa, Jiji la Hebroni lilijengwa miaka saba kabla ya jiji la Soani lililoko Misri.
28 Lakini watu wanaoishi katika nchi hiyo wana nguvu, na majiji yao yenye ngome ni makubwa sana. Tuliona pia wazao wa Anaki huko.+