Yoshua 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi Kalebu aliwafukuza kutoka Hebroni wana watatu wa Anaki:+ Sheshai, Ahimani, Talmai,+ yaani, wazao wa Anaki. Waamuzi 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wakampa Kalebu jiji la Hebroni, kama Musa alivyoahidi,+ naye akawafukuza kutoka humo wale wana watatu wa Anaki.+
14 Basi Kalebu aliwafukuza kutoka Hebroni wana watatu wa Anaki:+ Sheshai, Ahimani, Talmai,+ yaani, wazao wa Anaki.
20 Wakampa Kalebu jiji la Hebroni, kama Musa alivyoahidi,+ naye akawafukuza kutoka humo wale wana watatu wa Anaki.+