Mwanzo 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu. Hesabu 35:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nanyi hampaswi kuchukua fidia kwa ajili ya nafsi ya muuaji wa kukusudia anayestahili kufa,+ kwa maana lazima auawe.+
6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.
31 Nanyi hampaswi kuchukua fidia kwa ajili ya nafsi ya muuaji wa kukusudia anayestahili kufa,+ kwa maana lazima auawe.+