Mathayo 12:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Malkia wa kusini+ atasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki naye atakihukumu kuwa chenye hatia; kwa sababu alikuja kutoka miisho ya dunia kuisikia hekima ya Sulemani, lakini, tazama! mtu mkuu kuliko Sulemani yuko hapa.+ Mathayo 22:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na hakuna mtu aliyeweza kumjibu hata neno moja, na tangu siku hiyo na kuendelea hakuna mtu yeyote aliyethubutu tena kumuuliza swali.+
42 Malkia wa kusini+ atasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki naye atakihukumu kuwa chenye hatia; kwa sababu alikuja kutoka miisho ya dunia kuisikia hekima ya Sulemani, lakini, tazama! mtu mkuu kuliko Sulemani yuko hapa.+
46 Na hakuna mtu aliyeweza kumjibu hata neno moja, na tangu siku hiyo na kuendelea hakuna mtu yeyote aliyethubutu tena kumuuliza swali.+