Methali 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mtu asiye na uzoefu huamini kila neno,+ lakini mtu mwerevu huzifikiria hatua zake.+ Luka 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Malkia+ wa kusini atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atawahukumu kuwa wenye hatia; kwa sababu yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili aisikie hekima ya Sulemani, lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Sulemani yupo hapa.
31 Malkia+ wa kusini atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atawahukumu kuwa wenye hatia; kwa sababu yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili aisikie hekima ya Sulemani, lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Sulemani yupo hapa.