Methali 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwenye furaha ni mtu ambaye amepata hekima,+ na mtu anayepata utambuzi,+ Methali 8:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mwenye furaha ni yule anayenisikiliza kwa kukaa macho milangoni pangu siku baada ya siku, kwa kulinda kwenye vizingiti vya mahali pangu pa kuingilia.+
34 Mwenye furaha ni yule anayenisikiliza kwa kukaa macho milangoni pangu siku baada ya siku, kwa kulinda kwenye vizingiti vya mahali pangu pa kuingilia.+