Kumbukumbu la Torati 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ila tu asiongeze farasi kwa ajili yake,+ wala kuwafanya watu warudi Misri ili kuongeza farasi;+ huku Yehova amewaambia ninyi, ‘Msirudi kamwe tena katika njia hii.’
16 Ila tu asiongeze farasi kwa ajili yake,+ wala kuwafanya watu warudi Misri ili kuongeza farasi;+ huku Yehova amewaambia ninyi, ‘Msirudi kamwe tena katika njia hii.’