2 Mambo ya Nyakati 20:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo ufalme wa Yehoshafati haukuwa na usumbufu wowote, na Mungu wake akaendelea kumpa pumziko kuzunguka pande zote.+ Methali 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Waadilifu wanapokuwa wengi, watu hushangilia;+ lakini mtu yeyote mwovu anapotawala, watu huugua.+
30 Kwa hiyo ufalme wa Yehoshafati haukuwa na usumbufu wowote, na Mungu wake akaendelea kumpa pumziko kuzunguka pande zote.+