Kutoka 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Mtu anayetoa dhabihu kwa miungu yoyote isipokuwa kwa Yehova peke yake ataangamizwa.+ Kumbukumbu la Torati 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 naye aende na kuabudu miungu mingine na kuinamia hiyo au jua au mwezi au jeshi lote la mbinguni,+ jambo ambalo sijaamuru,+
3 naye aende na kuabudu miungu mingine na kuinamia hiyo au jua au mwezi au jeshi lote la mbinguni,+ jambo ambalo sijaamuru,+