1 Wafalme 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akaanza kuingiza ndani ya nyumba ya Yehova vitu ambavyo baba yake alivifanya kuwa vitakatifu na vitu ambavyo yeye mwenyewe alivifanya kuwa vitakatifu, fedha na dhahabu na vyombo.+
15 Naye akaanza kuingiza ndani ya nyumba ya Yehova vitu ambavyo baba yake alivifanya kuwa vitakatifu na vitu ambavyo yeye mwenyewe alivifanya kuwa vitakatifu, fedha na dhahabu na vyombo.+