Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na sasa kwa muda kidogo kibali+ kutoka kwa Yehova Mungu wetu kimekuja kwa kutuachia wale walioponyoka+ na kwa kutupa sisi kigingi katika mahali pake patakatifu, kufanya macho yetu yang’ae,+ Ee Mungu wetu, na kutuamsha kidogo kutoka katika utumwa wetu.+

  • Nehemia 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Hanani,+ mmoja wa ndugu zangu, akaingia, yeye pamoja na watu wengine kutoka Yuda, nami nikawauliza+ habari za Wayahudi,+ wale walioponyoka,+ mabaki ya wale mateka,+ na pia habari za Yerusalemu.

  • Isaya 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mabaki wachache watarudi, mabaki ya Yakobo, kwa Mungu Mwenye Nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki