8 Na katika Yerusalemu pia Yehoshafati akaweka baadhi ya Walawi+ na makuhani+ na baadhi ya vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba+ za Israeli kwa ajili ya uamuzi+ wa Yehova na kwa ajili ya kesi+ za wakaaji wa Yerusalemu.
20Ikawa kwamba katika mwaka wa saba, katika mwezi wa tano, siku ya kumi ya mwezi huo, baadhi ya watu kati ya wazee wa Israeli wakaja kuuliza juu ya Yehova,+ nao wakaketi mbele yangu.+