-
2 Wafalme 17:26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 Basi wakatuma neno kwa mfalme wa Ashuru, na kusema: “Mataifa ambayo umepeleka uhamishoni na kuwakalisha katika majiji ya Samaria hawajui dini ya Mungu wa nchi hiyo, hivi kwamba yeye anazidi kutuma simba katikati yao;+ na tazama! wanawaua, kwa vile hakuna wowote wanaojua dini ya Mungu wa nchi hiyo.”
-