23 Ndipo jambo hilo likachunguzwa na kujulikana mwishowe, na wote wawili wakatundikwa+ juu ya mti;+ kisha hayo yakaandikwa katika kitabu cha mambo+ ya siku mbele ya mfalme.
6Usiku huo usingizi wa mfalme ulimtoka.+ Kwa hiyo akasema kwamba kitabu cha kumbukumbu+ za mambo ya nyakati kiletwe. Kisha mambo hayo yakasomwa mbele ya mfalme.