3 “Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo toleo linalotolewa kwa njia ya moto ambalo mtamtolea Yehova: wana-kondoo dume ambao hawana kasoro wenye umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku wakiwa toleo la kuteketezwa daima.+
2 Nanyi mtatoa toleo la kuteketezwa kuwa harufu ya kumtuliza Yehova, ng’ombe-dume mmoja mchanga, kondoo-dume mmoja, wana-kondoo dume saba, kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja, ambao hawana kasoro;+