2 na mkate usio na chachu na keki za mviringo zisizo na chachu, ambazo zimetiwa mafuta na mkate mwembamba usio na chachu, uliotiwa mafuta.+ Utavifanya kutokana na unga laini wa ngano.
2“‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake.