15 Nawe lazima utawatia mafuta kama vile ulivyomtia mafuta baba yao,+ nao lazima watanitumikia wakiwa makuhani, na kutiwa kwao mafuta lazima kutumike kwao kwa kuendelea kukiwa ukuhani mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyao.”+
13 Nalo litatumika kama agano la ukuhani mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yake na uzao wake baada yake,+ kwa kuwa hakuvumilia ushindani wowote kumwelekea Mungu+ wake naye alifanya upatanisho kwa ajili ya wana wa Israeli.’”+