Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Zaburi 55:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mimi nami nitamlilia Mungu;+Na Yehova mwenyewe ataniokoa.+