Zaburi 86:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Utege sikio, Ee Yehova, kwa sala yangu;+Na uisikilize sauti yangu ya kusihi.+ Zaburi 130:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Yehova, uisikie sauti yangu.+Masikio yako na yasikilize sauti ya kusihi kwangu.+