Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “Basi, tafadhali, Ee Mungu wangu, macho+ yako yafunguliwe na masikio+ yako yaisikilize sala inayohusu mahali hapa.

  • Zaburi 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Usikie jambo la uadilifu, Ee Yehova; Usikilize kwa makini kilio changu cha kusihi;+

      Tega sikio kwa sala yangu bila midomo ya udanganyifu.+

  • Zaburi 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,

      Nami niliendelea kumlilia Mungu wangu kwa ajili ya msaada.+

      Kutoka katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+

      Nacho kilio changu cha msaada mbele zake sasa kikafika masikioni mwake.+

  • Zaburi 34:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+

      Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki