10 Naye akawasimamisha watu wote,+ kila mmoja akiwa na silaha yake mkononi mwake, kuanzia upande wa kuume wa nyumba mpaka upande wa kushoto wa nyumba, kando ya madhabahu na kando ya nyumba, pande zote karibu na mfalme.
5 Tena akajipa moyo na kujenga ukuta wote uliovunjika+ na kusimamisha minara+ juu yake, na upande wa nje ukuta mwingine,+ akarekebisha Kilima+ cha Jiji la Daudi, na kutengeneza silaha+ kwa wingi na ngao.+