Methali 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wale wanaoiacha sheria humsifu mwovu,+ lakini wale wanaoishika sheria hushindana nao.+ Yohana 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kama mngekuwa sehemu ya ulimwengu, ulimwengu ungependa kilicho chake.+ Sasa kwa sababu ninyi si sehemu ya ulimwengu, bali nimewachagua ninyi kutoka ulimwenguni,+ kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukia ninyi.+ 1 Yohana 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wao hutokana na ulimwengu;+ ndiyo sababu wanasema lile linalotoka kwa ulimwengu na ulimwengu huwasikiliza wao.+
19 Kama mngekuwa sehemu ya ulimwengu, ulimwengu ungependa kilicho chake.+ Sasa kwa sababu ninyi si sehemu ya ulimwengu, bali nimewachagua ninyi kutoka ulimwenguni,+ kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukia ninyi.+
5 Wao hutokana na ulimwengu;+ ndiyo sababu wanasema lile linalotoka kwa ulimwengu na ulimwengu huwasikiliza wao.+