1 Mambo ya Nyakati 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na hawa ndio waliokuwa waimbaji,+ vichwa vya upande wa baba vya Walawi katika vyumba vya kulia chakula,+ wale ambao hawakupangwa katika zamu;+ kwa maana walikuwa na wajibu wa kuwa kazini mchana na usiku.+ Ezra 2:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Waimbaji, wana wa Asafu,+ 128.
33 Na hawa ndio waliokuwa waimbaji,+ vichwa vya upande wa baba vya Walawi katika vyumba vya kulia chakula,+ wale ambao hawakupangwa katika zamu;+ kwa maana walikuwa na wajibu wa kuwa kazini mchana na usiku.+