Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 6:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kwa habari ya Asafu+ ndugu yake, aliyekuwa akihudumu upande wake wa kuume, Asafu alikuwa mwana wa Berekia,+ mwana wa Shimea,

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi Walawi wakamweka Hemani+ mwana wa Yoeli na, kati ya ndugu zake, Asafu+ mwana wa Berekia; na, kati ya ndugu zao wana wa Merari, Ethani+ mwana wa Kushaya;

  • 1 Mambo ya Nyakati 25:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Tena Daudi na wakuu+ wa vikundi vya utumishi+ wakatenga kwa ajili ya utumishi sehemu ya wana wa Asafu, Hemani+ na Yeduthuni+ wenye kutoa unabii kwa vinubi,+ kwa vinanda+ na kwa matoazi.+ Na kutoka katika hesabu yao kukawa na wanaume rasmi kwa ajili ya utumishi wao.

  • Nehemia 7:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Waimbaji,+ wana wa Asafu,+ 148.

  • Nehemia 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 na Matania+ mwenyewe, mwana wa Mika mwana wa Zabdi mwana wa Asafu,+ kiongozi wa nyimbo za sifa,+ ndiye aliyesifu katika sala,+ na Bakbukia alikuwa wa pili wa ndugu zake, na Abda mwana wa Shamua mwana wa Galali+ mwana wa Yeduthuni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki