9Kwa habari ya Waisraeli wote, wao waliandikishwa kiukoo;+ na tazama, wameandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Israeli. Na Yuda wakapelekwa uhamishoni+ kule Babiloni kwa sababu walikosa uaminifu.
62 Hao ndio wale waliotafuta kitabu chao cha kuandikisha ili kuthibitisha ukoo wao waziwazi, wakakuta hawamo, basi wakazuiwa wasiwe katika ukuhani kwa kuwa ni najisi.+