Mwanzo 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+ 1 Mambo ya Nyakati 2:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Salma baba ya Bethlehemu,+ Harefu baba ya Beth-gaderi. Mathayo 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Nawe, Ee Bethlehemu+ ya nchi ya Yuda, wewe si jiji dogo zaidi kati ya magavana wa Yuda; kwa maana kutoka kwako wewe atakuja mwenye kuongoza,+ atakayewachunga+ watu wangu, Israeli.’ ”
6 ‘Nawe, Ee Bethlehemu+ ya nchi ya Yuda, wewe si jiji dogo zaidi kati ya magavana wa Yuda; kwa maana kutoka kwako wewe atakuja mwenye kuongoza,+ atakayewachunga+ watu wangu, Israeli.’ ”