17 Ndipo wana wa Israeli wakaondoka na kwenda katika majiji ya watu hao siku ya tatu, na majiji yao yalikuwa Gibeoni+ na Kefira+ na Beerothi+ na Kiriath-yearimu.+
2 Na ikawa kwamba tangu siku ambayo hilo Sanduku lilikaa katika Kiriath-yearimu, siku zikaendelea kuongezeka, nazo zikawa jumla ya miaka 20, na nyumba yote ya Israeli wakamwombolezea Yehova.+