2 Mambo ya Nyakati 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha Walawi+ wa wana wa Wakohathi+ na wa wana wa Wakora+ wakasimama ili kumsifu Yehova Mungu wa Israeli, kwa sauti kubwa isivyo kawaida.+ Zaburi 77:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 77 Kwa sauti yangu nitamlilia Mungu mwenyewe,+Kwa sauti yangu kwa Mungu, naye hakika atanisikiliza.+
19 Kisha Walawi+ wa wana wa Wakohathi+ na wa wana wa Wakora+ wakasimama ili kumsifu Yehova Mungu wa Israeli, kwa sauti kubwa isivyo kawaida.+