Esta 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo mfalme akamwambia: “Una nini, Ee Esta, malkia, na ombi lako ni nini?+ Hata nusu ya ufalme+—na upewe wewe!” Esta 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi mfalme akamwambia Esta siku ya pili pia wakati wa karamu ya divai:+ “Ombi lako ni nini,+ Ee Esta, malkia? Na upewe hilo.+ Na haja yako ni nini? Hata nusu ya ufalme+—na iwe hivyo!”
3 Ndipo mfalme akamwambia: “Una nini, Ee Esta, malkia, na ombi lako ni nini?+ Hata nusu ya ufalme+—na upewe wewe!”
2 Basi mfalme akamwambia Esta siku ya pili pia wakati wa karamu ya divai:+ “Ombi lako ni nini,+ Ee Esta, malkia? Na upewe hilo.+ Na haja yako ni nini? Hata nusu ya ufalme+—na iwe hivyo!”