14 Jambo lingine ni kwamba: Tangu siku aliponiweka kuwa gavana+ wao katika nchi ya Yuda, kutoka mwaka wa 20+ mpaka mwaka wa 32+ wa Mfalme Artashasta,+ miaka 12, mimi na ndugu zangu hatukula mkate ambao ni haki ya gavana.+
6 Na wakati huo wote mimi sikuwa katika Yerusalemu, kwa maana nilirudi kwa mfalme katika mwaka wa 32+ wa Artashasta+ mfalme wa Babiloni, na wakati fulani baadaye nikaomba mfalme ruhusa ya kutokuwapo.+