5 Kisha nikamwambia mfalme: “Ikiwa inaonekana vema kwa mfalme,+ na ikiwa mtumishi wako anaonekana mwema mbele yako,+ unitume Yuda, kwenye jiji la makaburi ya mababu zangu, nipate kulijenga upya.”+
6 Ndipo mfalme akaniambia, huku malkia wake akiwa ameketi kando yake: “Safari yako itachukua muda gani, nawe utarudi wakati gani?” Basi ikaonekana vema+ kwa mfalme kunituma, nilipompa wakati uliowekwa.+