Ezra 7:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na baada ya mambo hayo katika utawala wa Artashasta+ mfalme wa Uajemi, Ezra+ mwana wa Seraya+ mwana wa Azaria mwana wa Hilkia+ Nehemia 2:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na ikawa kwamba katika mwezi wa Nisani,+ katika mwaka wa 20+ wa Mfalme Artashasta,+ divai ilikuwa mbele yake, na mimi, kama kawaida, nikaichukua divai hiyo na kumpa mfalme.+ Lakini sikuwa nimepata kuwa na huzuni mbele yake kamwe.+
7 Na baada ya mambo hayo katika utawala wa Artashasta+ mfalme wa Uajemi, Ezra+ mwana wa Seraya+ mwana wa Azaria mwana wa Hilkia+
2 Na ikawa kwamba katika mwezi wa Nisani,+ katika mwaka wa 20+ wa Mfalme Artashasta,+ divai ilikuwa mbele yake, na mimi, kama kawaida, nikaichukua divai hiyo na kumpa mfalme.+ Lakini sikuwa nimepata kuwa na huzuni mbele yake kamwe.+