16 Na siku ya kwanza kutakuwa na mkusanyiko mtakatifu kwa ajili yenu, na siku ya saba mkusanyiko mtakatifu.+ Hakuna kazi yoyote itakayofanywa katika siku hizo.+ Ila tu kile ambacho kila nafsi inahitaji kula, hicho tu kinaweza kufanywa kwa ajili yenu.+