Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na siku ya kwanza kutakuwa na mkusanyiko mtakatifu kwa ajili yenu, na siku ya saba mkusanyiko mtakatifu.+ Hakuna kazi yoyote itakayofanywa katika siku hizo.+ Ila tu kile ambacho kila nafsi inahitaji kula, hicho tu kinaweza kufanywa kwa ajili yenu.+

  • Hesabu 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “‘Na katika mwezi wa saba, siku ya kwanza ya mwezi huo, mtafanya mkusanyiko mtakatifu.+ Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.+ Itakuwa siku ya kupiga tarumbeta kwenu.+

  • Hesabu 29:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba+ mtafanya mkusanyiko mtakatifu.+ Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote,+ nanyi mtamfanyia Yehova sherehe kwa siku saba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki