Kutoka 30:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hiki ndicho watakachotoa wale wote wanaopita kwa wale waliohesabiwa: nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.+ Gera 20 zinatoshana na shekeli moja. Nusu shekeli ndio mchango kwa Yehova.+ Methali 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyako vyenye thamani+ na kwa matunda ya kwanza ya mazao yako yote.+
13 Hiki ndicho watakachotoa wale wote wanaopita kwa wale waliohesabiwa: nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.+ Gera 20 zinatoshana na shekeli moja. Nusu shekeli ndio mchango kwa Yehova.+