1 Wafalme 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 wana wao waliobaki baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli walishindwa kuangamiza,+ Sulemani akaendelea kuwaandikisha kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa ya kitumwa mpaka leo hii.+ Nehemia 7:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Wana wa watumishi wa Sulemani:+ Wana wa Sotai, wana wa Soferethi, wana wa Perida,+
21 wana wao waliobaki baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli walishindwa kuangamiza,+ Sulemani akaendelea kuwaandikisha kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa ya kitumwa mpaka leo hii.+