21 wana wao waliobaki baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli walishindwa kuangamiza,+ Sulemani akaendelea kuwaandikisha kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa ya kitumwa mpaka leo hii.+
3 Na hawa ndio vichwa vya wilaya ya utawala+ ambao walikaa Yerusalemu;+ lakini katika majiji ya Yuda walikaa Israeli,+ makuhani+ na Walawi,+ na Wanethini+ na wana wa watumishi wa Sulemani,+ kila mmoja katika urithi wake, katika majiji yao.+