27 Basi Yoshua akawafanya+ siku hiyo kuwa wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko+ na kwa ajili ya madhabahu ya Yehova, mpaka leo hii, mahali ambapo angechagua.+
17 Kisha nikawapa amri kuhusu Ido aliye kichwa huko Kasifia, nami nikatia maneno katika vinywa+ vyao waseme na Ido na ndugu zake Wanethini+ huko Kasifia, watuletee wahudumu+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.