2 “Sema na wana wa Israeli nawe uchukue kutoka kwao fimbo+ moja kwa ajili ya kila nyumba ya ukoo wa upande wa baba kutoka kwa wakuu+ wao wote, kulingana na nyumba ya baba yao, fimbo kumi na mbili. Utaandika jina la kila mmoja katika fimbo yake.
12 naye akawaambia: “Ninyi ndio vichwa+ vya upande wa baba vya Walawi. Jitakaseni,+ ninyi na ndugu zenu, nanyi mlipandishe sanduku la Yehova, Mungu wa Israeli mpaka mahali ambapo nimelitayarishia.