2 Mambo ya Nyakati 27:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeye alijenga lango la juu+ la nyumba ya Yehova, naye akafanya ujenzi mkubwa katika ukuta wa Ofeli.+ Nehemia 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nao Wanethini+ walikuwa wakaaji wa Ofeli;+ walifanya kazi ya kurekebisha mpaka mbele ya Lango la Maji+ upande wa mashariki na mnara wenye kutokeza. Nehemia 3:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Baada yake Malkiya, mshiriki wa chama cha mafundi wa dhahabu,+ akafanya kazi ya kurekebisha mpaka kwenye nyumba ya Wanethini+ na wafanya-biashara,+ mbele ya Lango la Ukaguzi na mpaka kwenye chumba cha dari cha pembeni.
3 Yeye alijenga lango la juu+ la nyumba ya Yehova, naye akafanya ujenzi mkubwa katika ukuta wa Ofeli.+
26 Nao Wanethini+ walikuwa wakaaji wa Ofeli;+ walifanya kazi ya kurekebisha mpaka mbele ya Lango la Maji+ upande wa mashariki na mnara wenye kutokeza.
31 Baada yake Malkiya, mshiriki wa chama cha mafundi wa dhahabu,+ akafanya kazi ya kurekebisha mpaka kwenye nyumba ya Wanethini+ na wafanya-biashara,+ mbele ya Lango la Ukaguzi na mpaka kwenye chumba cha dari cha pembeni.