Yoshua 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Katika Shefela+ kulikuwa na Eshtaoli+ na Sora+ na Ashna, Yoshua 19:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Na mpaka wa urithi wao ukawa ni Sora+ na Eshtaoli na Ir-shemeshi, 2 Mambo ya Nyakati 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na Sora+ na Aiyaloni+ na Hebroni,+ majiji yenye ngome, yaliyokuwa katika Yuda na Benyamini.