Zaburi 94:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Je, kiti cha ufalme kinachosababisha shida, kitashirikiana nawe,+Na huku kinatunga matatizo kwa njia ya amri?+ Danieli 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na sasa, Ee mfalme, isimamishe imara sheria hiyo na kutia sahihi maandishi hayo,+ ili yasibadilishwe, kulingana na sheria ya Wamedi na Waajemi,+ ambayo haifutwi.”+
20 Je, kiti cha ufalme kinachosababisha shida, kitashirikiana nawe,+Na huku kinatunga matatizo kwa njia ya amri?+
8 Na sasa, Ee mfalme, isimamishe imara sheria hiyo na kutia sahihi maandishi hayo,+ ili yasibadilishwe, kulingana na sheria ya Wamedi na Waajemi,+ ambayo haifutwi.”+