Mwanzo 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nanyi pia mnapaswa kusema, ‘Tazama, mtumishi wako Yakobo yuko nyuma yetu.’”+ Kwa maana alisema moyoni mwake: “Huenda nikamtuliza kwa zawadi inayoenda mbele yangu,+ na baadaye mimi nitaona uso wake. Labda atanipokea kwa fadhili.”+ Methali 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Zawadi ni jiwe la thamani linaloleta kibali machoni pa yule aliye nayo.+ Kila mahali anapogeukia anafanikiwa.+
20 Nanyi pia mnapaswa kusema, ‘Tazama, mtumishi wako Yakobo yuko nyuma yetu.’”+ Kwa maana alisema moyoni mwake: “Huenda nikamtuliza kwa zawadi inayoenda mbele yangu,+ na baadaye mimi nitaona uso wake. Labda atanipokea kwa fadhili.”+
8 Zawadi ni jiwe la thamani linaloleta kibali machoni pa yule aliye nayo.+ Kila mahali anapogeukia anafanikiwa.+