11 kwamba mfalme alitoa ruhusa kwa Wayahudi walio katika majiji yote mbalimbali wajikusanye+ na kusimama kwa ajili ya nafsi zao, waangamize, waue, na kuharibu jeshi lote la watu+ na wilaya za utawala zilizokuwa zikiwaonyesha uadui, watoto kwa wanawake, na kupora nyara zao,+