Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nanyi andikeni kwa ajili ya Wayahudi kulingana na yaliyo mema machoni penu wenyewe katika jina la mfalme,+ nanyi myatie muhuri kwa pete ya mfalme; kwa maana maandishi ambayo yameandikwa kwa jina la mfalme na kutiwa muhuri kwa pete ya mfalme hayawezi kufutwa.”+

  • Danieli 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha wakakaribia na kusema mbele ya mfalme kuhusu ile amri ya marufuku ya mfalme: “Je, hakuna amri ya marufuku ambayo wewe umetia sahihi inayosema kwamba mtu yeyote anayetoa ombi kwa mungu yeyote au mwanadamu kwa siku 30 isipokuwa kwako, Ee mfalme, atupwe ndani ya shimo la simba?”+ Mfalme akajibu na kusema: “Jambo hilo limesimamishwa imara kulingana na sheria ya Wamedi na Waajemi, ambayo haifutwi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki